Sunday, August 21, 2016

Published August 21, 2016 by with 0 comment

Moshi Mweupe Waanza Kuonekana CUF, Haya Hapa Majina Matatu Yaliyopitishwa Nafasi ya Uenyekiti

Baraza Kuu la CUF limepitisha majina 3 yatakayopigiwa kura kujaza nafasi ya Uenyekiti, iliyoachwa wazi na Prof. Lipumba mwaka jana.

Majina hayo ni Twaha Taslima, Riziki Shahari Mngwali na Juma Nkumbi.
      edit

0 comments:

Post a Comment