Mkazi wilayani Gairo atuhumiwa kumpiga mkewe hadi kusababisha kifo
Polisi mkoani Morogoro inamshikilia mtu mmoja PASTORY CHILANGAZI mkazi wa Mamvisi tarafa ya Nongwe wilayani Gairo kwa tuhuma za kumpiga mkewe hadi kusababisha kifo chake kutokana na ugomvi wa kifamilia.




