Thursday, May 25, 2017

Published May 25, 2017 by with 0 comment

Mkazi wilayani Gairo atuhumiwa kumpiga mkewe hadi kusababisha kifo


Mkazi wilayani Gairo atuhumiwa kumpiga mkewe hadi kusababisha kifo
Polisi mkoani Morogoro inamshikilia mtu mmoja PASTORY CHILANGAZI mkazi wa Mamvisi tarafa ya Nongwe wilayani Gairo kwa tuhuma za kumpiga mkewe hadi kusababisha kifo chake kutokana na ugomvi wa kifamilia.
Read More
      edit
Published May 25, 2017 by with 0 comment

TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU 25 MAY 2017


Read More
      edit
Published May 25, 2017 by with 0 comment

Kafulila Afunguka Baada Ya Profesa Muhongo Kutumbuliwa

Aliyewahi kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu David Kafulila ameibuka na kutoa ya moyoni baada ya maamuzi yaliyofanywa na Rais Magufuli baada ya kupokea ripoti ya Kamati Maalum kuhusiana na uchunguzi wa makontena 272 ya makinikia yaliyokuwa  tayari kwa kusafirishwa nje ya nchi .
Read More
      edit
Published May 25, 2017 by with 0 comment

" Wasukuma Tutaziloga Ng'ombe Zetu Ili Mtakaokula Mvimbe Matumbo" - Mbunge wa Geita (CCM), Joseph Kasheku

Mbunge wa Geita (CCM), Joseph Kasheku Musukuma amesema hawezi kumsifia hata kidogo Prof. Jumanne Maghembe, Waziri wa Maliasili na Utalii kwani yeye na watu wake wa Wizara wanafanya mambo ya ajabu hasa kwa watu wa Kanda ya Ziwa.
Read More
      edit
Published May 25, 2017 by with 0 comment

FULL VIDEO: Hotuba ya Rais Magufuli Wakati Akikabidhiwa Taarifa ya Uchunguzi wa Mchanga wa Madini

JPM
Rais wa Tanzania, Dk. John Magufuli amepokea taarifa ya uchunguzi wa mchanga wa madini mbalimbali uliotakiwa kusafirishwa nje ya nchi kutoka kwenye machimbo ya madini nchini.
Read More
      edit